Tuesday, December 31, 2024

Shukrani 2024

Ahsante  veronica mrema 2024



Na Abdusamadu Ninga

Kwa muda mrefu baaada ya kuwasili chuo (UDOM) nilikuwa nikijiuliza, ni lini ndoto yangu itatimia na kuwa mwandishi bora? , Kimsingi ni swali ambalo lililokuwa likigonga kichwani mwangu pasi na kupata majibu hususani nilipohudhuria vipindi darasani na kujifunza mambo mbalimbali ya tasnia yangu.

Nilitamani kupata mtu mwenye uzoefu katika uandishi wa habari hususani makala, achilia mbali kupiga picha kuripoti hali kadhaika kusoma habari kama inavyopaswa kwa mwandishi wa habari aliyekuwa bora.

Siku moja nikiwa nasikiliza ‘lecturer’ darasani DKT. Mary Kafyome alikuwa akisistiza na kueleza ni kwa jinsi gani tutaweza kuwa waandishi bora. Katika mifano yake alikutaja wewe kuwa ni miongoni mwa waandishi wazuri sana Veronica Mrema.

“veronica Mrema ni mwandishi mzuri sana wa masuala ya afya, ninamfuatilia kwa ukaribu sana katika mitandao ya kijamii, nendeni mkajifunze kwa hao watu”

Moja kwa moja, sikuwa na muda wa kupoteza nilikuwa mithili ya mbogo aliyejeruhiwa kwa gobole nikiwa na kiu ya kukufahamu na kujua unafanyaje kazi zako, nilikaa chini na kuyafanyia kazi yale yote aliyotusisitiza mhadhiri wetu Dkt. Kafyome kwa kuanza na kutafuta akaunti yako Veronika mrema katika mtandao wa Instagram, facebook na baadaye kuifahamu Blogu ya M24tzmedia na chaneli ya YouTube M24 Tanzania baada ya kufahamiana nawe.

Mnamo siku ya jumatano tarehe 10 July 2024, kwangu ilikuwa bahati kubwa kupata nambari yako ya simu ili kujifunza kwa ukaribu Zaidi kutoka kwako kupitia mtandao wa instagram, ingawaje nilikuwa nikihofia kukosa nambari yako ya simu kutokana na kasumba iliyopo kwa baadhi ya watu maarufu au waliofanikiwa kwa namna moja au nyigine kutojibu jumbe kutoka kwa watu wanaowafuatilia kwa ukaribu, lakini hukusita na hata ulinipatia nambari yako ya simu na kuahidi kunisadia ili kuwa bora katika uandishi.

Ni vitu gani nimejifunza kwako katika mwaka 2024?

Kuondoa dhana ya ajira kichwani mwangu. umenisistiza sana kuwa ‘upcoming journalist’ wengi huwa na ndoto ya kuajiriwa hali inayopelekea kuvunjika moyo wanapohitimu vyuo.

“upcoming journalist wengi ninaokutana nao huwa na ndoto ya kuajiriwa. Ushauri wangu kwao media industry bongo soko la ajira ni gumu . wanaoajiriwa ni kiduchu mno, muhimu kujipambania kwa kuhakikisha unakuwa bora Zaidi ya wengine” ulinieleza katika ujumbe wa maandishi WhatsApp.

Kuwa tofauti kwa kujifunza sana kuandika habari na kuandika kwa weledi. Ni dhahiri kuwa, utofauti wangu na wanafunzi wengine ni kupitia jitihada kubwa kujifunza na kuandika habari zenye tija ili kujenga uzoefu.

“ndiyo hivyo kijana mwenzamgu, kuwa unique lakini kwa taarifa ambazo zitakupeleka mbali kitaaluma”

Kuandika Makala. kupitia Blogu yako ‘M24tzmedia’ nimekuwa nikifuatilia kwa jicho la kiuandishi na ukaribu Zaidi ili kufahamu ni kwanamna gani nitaweza kuandika kama wewe na hatimaye hata kushinda tuzo mbali mbali iwapo nitashiriki. Hali kadhalika, katika ‘stastus’ yako WhatsApp uliandika kuwa, watu wanahisi tuzo unazopata unapendelewa na kusahau kuwa kuna mambo muhimu yanayopaswa kufanyika wakati wa kuandika ikiwa ni kuchagua wazo lako vizuri, kuandika kwa weledi, kuweka takwimu halisi, kuandika kwa usahihi, vyanzo vya usahihi, kuandika kwa mtiririko mzuri na kushiriki iwapo mashindano yakitangazwa.


Kuwa na moyo wa kujitolea ili kuongeza ujuzi. Kupitia simulizi yako uliyonipatia juu ya maombi yako ya mafunzo Aga Khan university kwa waandishi wa habari za afya, nimejifunza kuwa si vizuri kuacha fursa kwa minajili ya kupata pesa, na wakati mwingine fursa huja baada ya kujitolea. Ulisema kuwa

“ ilitumwa link kwenye group moja la wanahabari nikaingia nikatuma mambi, basi nikaitwa”

Uliendelea kuwa, “..huu nao ni mtihani mwingine kwa wabongo, waliposikia hakuna posho, walikimbia kadhaa. Tukabaki tuliobabi mpaka mwisho, ilikuwa siku 3 ona sasa wamekosa maarifa. Ikiwa wakipata hiyo fursa sijui watalipia dola ngapi”

Uliendelea na kusisitiza kuwa, “ moral of the story ni kwamba usiache fursa ya kuongeza ujuzi kisa haina mshiko”


Mafanikio niliyoyapata badada ya kujifunza kutoka kwako

Kuandika Makala mbali mbali, ikiwemo zinazohusu mazingira na siasa ambazo ni “how would Rufiji wetlands look after three decades from 2024? “ na “ijue kauli mbiu maga na ushindi wa rais Trump”. Lakini pia, niko mbioni kuandika Makala moja inyohusu mchango wa akili mnemba (AI) katika kurahisisha ugunduzi na matibabu ya matatizo ya afya ya akili ikiwa tayari nimendaa data na vyanzo vya uhakika ili kukamilisha Makala hii.

Kushiriki katika mashindano ya “university science competition for Africa 2024”, isivyo bahati sikushinda ingawaje nilipata cheti cha kushiriki mashindano hayo.

Kufanya mahojiano. Moja kati ya vitu ulivyo nisisitiza ili kuwa mwandishi bora ni uwezo wa kufanya mahojiano na watu mbalimbali.

Kupiga picha za stori kwa vitendo.

Graphics.

Malengo ya mwaka 2025 mpaka kufikia februari.

Ninaendelea kujifunza kuendesha vipindi vya redio katika studio iliyopo chuoni na ninatarajia kuendesha vipindi vya redio kwa umahiri ifikapo februari 2025.

Kujifunza kufanya uchambuzi wa data (data analysis and visualisation).

Kimsingi , mwaka 2024 ni mwaka wenye bahati kwangu na ninajivunia sana kukufahamu, kwa minajili nimejifunza vitu vingi sana, ninatoa shukrani zangu za dhati kwako VERONICA MREMA kwa kuwa na moyo na namna hiyo . 

Ahsante!!

.




    

Friday, September 13, 2024

Feature

 

How would Rufiji wetland look after three decades from 2024 like?

Wetlands international 

By, Abdusamadu Ninga

The River Rufiji wetland is amongst beautiful wetlands in Tanzania located in coastal region. The Rufiji River was formed by the confluence of the kilombero and Luwegu Rivers.

 The Rufiji River is approximated 600 kilometres (370 mi) long, with its source in southwestern Tanzania and its mouth on the Indian Ocean (opposite Mafia Island).

According to the official website of world wetlands day depicts that, over 35% of the world’s wetlands have disappeared between 1970 and 2015, mainly due to crop cultivation and dam construction with severe negative consequences on biodiversity, hydrology and ecosystem processes.

To mark this, the East African news blog revealed that, the world international wetlands day on 26 July 2021, a non-profit body launched a programme to restore at least 2,000 hectares of mangroves at the Rufiji delta, in line with the government’s pledge 5.2 million hectares of forest across the country over the next decade.

“It is estimated that about 7,000 hectares of mangroves were lost due to ‘tremendous’ changes vegetation cover within the Rufiji delta between 1991 and 2015. And 2016 the government imposed a ban on mangrove harvesting inside the delta” wrote Bob Karashani on The East African news blog. 

Wetlands international 

It is a clear fact that, human activities has been destroying the mangrove wetland in Rufiji, including rice farming, illegally logged for fuel and timber as well as destroyed by upstream activities like salt production, human settlement and cattle grazing , Thus affecting the mangrove wetlands to a large extent.

Furthermore, East African news bog described that, the Tanzanian government through the Tanzanian forest services Agency will patner with wetlands international on a Tsh 7.34 bilion ($.16 million ) management plan to restore the delta. The wetlands international plan outlines harvesting and projects to replant up to16,000 hectares of mangroves in the 53,355 hectare delta , over a five year period.

Rufiji wetlands: the blessed land

The Rufiji wetland supports a diverse ecosystem with various types of vegetation, such as; mangrove forest, magnificent, and grasses, adapted to the wet conditions around the Rufiji river; Rufiji Swamps serve as important habitats for a wide range of wildlife including birds (like waders and terns), hippopotamus, crocodiles, and monkeys as well as insects; They also play a crucial role in flood control, water purification, and carbon storage. 


Hence, it is clear that on the next decades, the Rufiji wetland will lost resulting to ripple effects due to; drainage for agriculture (studies , wetland international, 2018 estimates that about “7,004 hectares of mangroves have been lost as a result of rice farming between 1991 and 2015”), pollution, improperly planned activities, climate change, invasive species as well as overharvesting of mangrove trees.


What will happen on biodiversity if Rufiji wetlands lost?

Impact on water resources: The wetlands play a crucial role in maintaining water quality and regulating water flow in the surrounding area. Their loss could result in increased pollution, reduced water availability, and higher vulnerability to droughts and floods.

Disruption of ecosystem services: The wetlands provide vital ecosystem services such as water purification, flood regulation, and carbon sequestration. With its loss, these services would be compromised, leading to water quality deterioration, increased flooding, and higher carbon emissions.

The dependence of local communities and wildlife on Rufiji swamp ecosystems

Both local communities and wildlife benefits their dependence on Rufiji swamp ecosystems. As people gets food, water and habitats same as wildlife. Their dependence on Rufiji swamp balances the ecosystems because each depends from another in order to survive. Therefore, swamps plays great role on ecosystem as it provides habitats, food, flood control, carbon storage, recreation and tourism and water purification.

Wetlands international 
Wetlands international 


Importance of understanding and addressing these threats for effective conservation of Rufiji wetlands 

Rufiji people should be aware of threats to their wetlands. Simply because, through understanding it will help to address those threats in order to ensure conservation of Rufiji wetlands and preventing ripple effects like loss of biodiversity, flooding, disruption of ecosystems, loss of ecotourism activities. Furthermore, by ensuring people are aware of it, every 29 June international day of tropics is launched to raise awareness about the unique challenges tropical nations face from climate change, deforestation and urbanization . 

Successful Rufiji swamps conservation initiatives/ efforts 

There are many successful efforts and initiatives for conserving Rufiji swamps. This is due to its vitality, those efforts including; international day of tropics (it falls on 29 June, every year to raise awareness about the unique challenges tropical nations face from climate change, deforestation and urbanization) and A new project initiative by the institute of marine science (IMS) of Tanzania in partnership with the Tanzanian forest service, Wetlands International, the Kibiti District Council and the Pakaya Culture and Environment Group and the community in general. All these ensures the protection of Rufiji swamps to avoid ripple effects on the coming decades.

SAVE WETLANDS, SAVE THE ECOSYSTEM! 

It is our responsibility to conserve  Rufiji wetlands for ensuring sustainable developments and getting rid of loss of biodiversity. Not only, for Rufiji wetlands only but also in other areas, people should be awake to conserve our wetlands to saves the ecosystems.



Shukrani 2024

Ahsante  veronica mrema 2024 Na Abdusamadu Ninga Kwa muda mrefu baaada ya kuwasili chuo (UDOM) nilikuwa nikijiuliza, ni lini ndoto yangu ita...