Posts

Shukrani 2024

Image
Ahsante  veronica mrema 2024 Na Abdusamadu Ninga Kwa muda mrefu baaada ya kuwasili chuo (UDOM) nilikuwa nikijiuliza, ni lini ndoto yangu itatimia na kuwa mwandishi bora? , Kimsingi ni swali ambalo lililokuwa likigonga kichwani mwangu pasi na kupata majibu hususani nilipohudhuria vipindi darasani na kujifunza mambo mbalimbali ya tasnia yangu. Nilitamani kupata mtu mwenye uzoefu katika uandishi wa habari hususani makala, achilia mbali kupiga picha kuripoti hali kadhaika kusoma habari kama inavyopaswa kwa mwandishi wa habari aliyekuwa bora. Siku moja nikiwa nasikiliza ‘lecturer’ darasani DKT. Mary Kafyome alikuwa akisistiza na kueleza ni kwa jinsi gani tutaweza kuwa waandishi bora. Katika mifano yake alikutaja wewe kuwa ni miongoni mwa waandishi wazuri sana Veronica Mrema. “veronica Mrema ni mwandishi mzuri sana wa masuala ya afya, ninamfuatilia kwa ukaribu sana katika mitandao ya kijamii, nendeni mkajifunze kwa hao watu” Moja kwa moja, sikuwa na muda wa kupoteza nilikuwa mithili ...

Feature

Image
  How would Rufiji wetland look after three decades from 2024 like? Wetlands international  By, Abdusamadu Ninga The River Rufiji wetland is amongst beautiful wetlands in Tanzania located in coastal region. The Rufiji River was formed by the confluence of the kilombero and Luwegu Rivers.  The Rufiji River is approximated 600 kilometres (370 mi) long, with its source in southwestern Tanzania and its mouth on the Indian Ocean (opposite Mafia Island). According to the official website of world wetlands day depicts that, over 35% of the world’s wetlands have disappeared between 1970 and 2015, mainly due to crop cultivation and dam construction with severe negative consequences on biodiversity, hydrology and ecosystem processes. To mark this, the East African news blog revealed that, the world international wetlands day on 26 July 2021, a non-profit body launched a programme to restore at least 2,000 hectares of mangroves at the Rufiji delta, in line with the government’s pled...